Sounds Of Grace – I am Free

Sounds Of Grace I am Free

Sounds Of Grace – I am Free Lyrics

Artist: Sounds Of Grace
Song: I am Free

Nakumbuka nikisimama mbele ya kanisa
Nikiungama dhambi maarufu
Nilihisi nimewashtua watu
Wengine naamini niliwakwaza

Moyoni nataabika kunyamaza
Sauti za hukumu na shutumu kutonyamaza
Naanzaje kutangaza tena Ufalme wa Mungu
Je, mimi ni mwana wa Mungu?

Nilikosa majibu
Moyo wangu ulizama kwenye giza
Uchungu ulopitiliza
Miguu yangu haina nguvu

Sina hamu wala hamasa na kitu
Nikaendelea na siku
Ni nani awezaye kukomboa nafsi ilohukumiwa?
Maana ni kama mtu aliye mfu

Mshahara wa dhambi ni mauti
Je, dhambi ni nini hata ujitwike kwa ajili yangu?
Umejitwika dhambi mwilini mwako, ukaaibishwa
Ukapigwa hatimaye kifo

Hii ndio namna dhambi inatesa
Lakini ukaishinda, na kifo ukakishinda
Ukashuka chini hata kwa waliokufa
Wewe mwenye ujuzi wa miisho ya dunia, ukajitwika hata dhambi za wasio hai

Uliye na uwezo wa kusamehe dhambi
Ulimwambia yule mwanamke aende zake, wakati wa aibu, na kupigwa mawe
Kweli umekuja kuiondoa dhambi, na upendo wako ni ufunguo
Nikawa mbali na watu, mbali na urafiki

Nilijiona mpweke hata wakiwa karibu
Niliuchukia usiku
Nilipoteza thamani ya siku
Naamka asubuhi lakini bado ni usiku

Ndani yangu hakuna nguvu
Akili imеchoshwa na sauti za kujihukumu
Lakini hukuniacha
Ulisema nami kama upepo, ukanikumbusha bado upo

Hata nilipodhani nimekosеa mpaka mwisho
Kama mwana mpotevu hujaacha kunionesha fadhili zako
Kwa miali ya jua dirishani mwangu ulisema nami
Ukanikumbusha rehema zako ni mpya kila asubuhi

Mpaka nivyopojua ulikuja kwa sababu hii
Kuniondolea hukumu, kunipa uhuru
Sikuona wala sikutambua mpaka nilivyoonja pendo lako
Hukumu hutuweka mbali na Mungu, roho wa uzima hutupa uzima

Na wala kwake hakuna hukumu
Kama hii stori ni yako, unadhani umekosea mpaka mwisho
Umekosa matumaini, umejihukumu na kujiadhibu
Unajiuliza kama watakuelewa

Unahisi watu watakutenga
Unawaza itakuwaje kama wakigundua
Ujue ukweli huu na uwe huru
Roho wa uzima ametuweka huru juu ya utumwa wa dhambi

Mimi na wewe tumeondolewa dhambi
Hatuna sababu ya kujihukumu, kwa maana Mungu hatuhukumu
Tazama upendo huu na ukajipende namna hii
Ni yeye alikupenda hata kabla hujasema ndio

Anayekujua kabla ya misingi ya ulimwengu kuwekwa
Anayekuombea usiku na mchana
Ni yeye anajua nia ya moyo wako
Ni yeye anayekuita mwana

Simama na uangaze shujaa
Simama na utangaze zake rehema
Kwa maana umesamehewa
Wewe ni shahidi wa mataifa

Kwa ushuhuda wako unaangusha ufalme wa giza
Tazama siku za utukufu zi hapa
I am free
So free

Am free
I am free
So free
Am free

I am free
So free
Am free
I am free

So free
Am free
I am free
So free

Am free
I am free
So free
Am free

I am free
So free
Am free
I am free

So free
Am free
I am free
So free

Am free
I am free
So free
Am free

I am free
So free
Am free
I am free

So free
Am free
I am free
So free

Am free
I am free
So free
Am free

I am free
So free
Am free
I am free

So free
Am free
I am free
So free

Am free
I am free
So free
Am free
Find more lyrics at https://dcslyrics.com

You can purchase their music thru
DCSLyrics.com Amazon Music    DCSLyrics.com Apple Music
Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases

I am Free Lyrics – English Translation

I remember me standing in front of the church
I confess famous sins
I felt I was shocked people.
Others I believe I staggered

In the heart I will suffer silence
Sounds of Judgment and Shutum
How can I declare again the kingdom of God
Am I the Son of God?

I missed the answers
My heart sank in the dark
Bitterness ulopitiliza.
My legs are not strong

I have no desire or motivation with something
I went on with day.
Who can redeem the soul that is judged?
Meaning is like a dead person

The wages of sin is death
What is sin even to take for me?
Have a sin in your body, and embarrassed
Struck finally death.

This is the way sin suffers
But you conquered, and death won
Went down even for the dead
You knowledgeable of the ends of the earth, and take even the sins of the living

You are able to forgive sins
You told the woman to go, while embarrassing, and stoned
Really come to take away sin, and your love is the key
I became apart from people, apart from friendship

I felt lonely even close
I hated the night
I lost the value of the day
I wake up in the morning but it’s still at night

In me no power
The mind im scratched by the voice of judgment
But you don’t leave me
You said to me like the wind, you reminded me yet

Even when I thought I missed the last
As the prodigal son has stops showing me your kindness
For sunlight in my window you said with me
You reminded me of your mercy is new every morning

Until I know you came for this reason
Remove me judgment, give me freedom
I didn’t see or not recognize until I tasted your love
Judgment keeps us away from God, the Spirit of life gives us life

And by him there is no judgment
If this storori is yours, you think you’re wrong until the end
You missed hope, you have judged yourself and punishing yourself
You wonder if they will understand you

You feel people will exclude you
You think about what if they discover
Find out this fact and be free
The Spirit of Life has set us free about the bondage of sin

Me and you are removed from sin
We have no reason to judge, for God does not judge
See this love and love this way
Its she loved you even before you said yes

Who knows you before the foundations of the world placed
Who is praying for you night and day
It is she knows the intention of your heart
Is he who calls you a son

Stand up and shine hero
Stand up and declare mercy
For you are forgiven.
You are a nations witness

For your testimony you stretch out the dark kingdom
See the days of glory zi here
I am free
SO FREE.

AM Free.
I am free
SO FREE.
AM Free.

I am free
SO FREE.
AM Free.
I am free

SO FREE.
AM Free.
I am free
SO FREE.

AM Free.
I am free
SO FREE.
AM Free.

I am free
SO FREE.
AM Free.
I am free

SO FREE.
AM Free.
I am free
SO FREE.

AM Free.
I am free
SO FREE.
AM Free.

I am free
SO FREE.
AM Free.
I am free

SO FREE.
AM Free.
I am free
SO FREE.

AM Free.
I am free
SO FREE.
AM Free.

I am free
SO FREE.
AM Free.
I am free

SO FREE.
AM Free.
I am free
SO FREE.

AM Free.
I am free
SO FREE.
AM Free.
Find more lyrics at https://dcslyrics.com

Sounds Of Grace Lyrics – I am Free

Please support our site by sharing it.
And please follow our site to get the latest lyrics for all your favourite songs.

Please support the artist and us by purchasing your favourite music thru our Amazon Music and Apple Music links 🙂

You can purchase their music thru
DCSLyrics.com Amazon Music    DCSLyrics.com Apple Music
Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases