Rayvanny – Corona

Rayvanny Corona

Rayvanny – Corona Lyrics

Artist: Rayvanny
Song: Corona

Corona, corona, corona
Nooh ooh olo lo lolo ooh
Mmh hey yy eeh (Mocco)
Wote tumuombe Mungu kwa hili janga

Ikibidi lipite
Tujihadhari na tujikinge
Ili lisitufike
Habari kote duniani zimesambaa

Ugonjwa unaua na hauna tiba
Na wengine wetu masikini hatujiwezi
Mwenyezi Mungu kawe tiba
Watoto wetu mashule, aah

Mama zetu tu sokoni
Kwenye vyombo vya usafiri makazini
Tujilinde
Osha mikono, aah

Epuka mikusanyiko sio ya lazima, aah
Na uonapo dalili
Mapema wahi hospitali
Corona, corona, corona

Corona, corona, corona
Corona, corona, corona
Corona, corona, corona
Tanzania hatuwezi tukajiweka pembeni bila kuchukua hatua

‘Hatua zimeshaanza kuchukuliwa
Waziri wa wizara ya afya ameshazungumza
Ameshatoa tahadhari mbalimbali
Ambazo tunatakiwa kuzichukua

Napenda nirudie ndugu zangu Watanzania
Kwamba ni vizuri sana tukaendelea
Kuchukua tahadhari, kwa nguvu zote
Ugonjwa huu unaua, na unaua kwa haraka sana

Niwaombe ndugu zangu Watanzania
Tusipuuze ungonjwa huu (Corona, corona, corona)
Tusipuuze hata kidogo (Corona, corona, corona)
Ni lazima tuanze kuchukua hatua (Corona, corona, corona)

Za kujikinga kwa tatizo hili (Corona, corona, corona)
Find more lyrics at https://dcslyrics.com

You can purchase their music thru
DCSLyrics.com Amazon Music    DCSLyrics.com Apple Music
Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases

Corona Lyrics – English Translation

Corona, corona, corona
Nooh Ooh Olo Lolo Ooh
Mmh hey yy eeh (mocco)
We all pray to God for this catastrophe

If necessary
We should be careful of us
In order to irritate
News around the world have spread

Illness kills and has no cure
And some of our poor we cannot
May Allah be a cure
Our kids schools, aah

Our mothers only market
On transportation organs in the house
We protect yourself
Wash hands, aah

Avoid gatherings not necessary, aah
And see the symptoms
Early Hospitals
Corona, corona, corona

Corona, corona, corona
Corona, corona, corona
Corona, corona, corona
Tanzania we can not set aside without taking action

‘Steps have begun to be taken
Minister of Health has spoken
He has given various precautions
That we should take them

I wish me back to my brother Tanzanians
That is very well we continue
Take precautions, with all power
This disease kills, and kills very fast

I ask my Tanzanians
Let us not ignore this (Corona, Corona, Corona)
Let us not ignore the little (Corona, Corona, Corona)
We must begin to take action (corona, corona, corona)

To protect yourself from this problem (Corona, Corona, Corona)
Find more lyrics at https://dcslyrics.com

Rayvanny Lyrics – Corona

Please support our site by sharing it.
And please follow our site to get the latest lyrics for all your favourite songs.

Please support the artist and us by purchasing your favourite music thru our Amazon Music and Apple Music links 🙂

You can purchase their music thru
DCSLyrics.com Amazon Music    DCSLyrics.com Apple Music
Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases

From the album:
Vanny Boy [Explicit]
Release Year: 2018