Dully Sykes – Dhahabu

Dully Sykes Dhahabu

Dully Sykes – Dhahabu Lyrics

Artist: Dully Sykes
Song: Dhahabu

Nakupenda maa!
Basi njoo maa!
Nikila saa kabisa! uko kwa kichaa!
Girl just listen,tuishi kama

Heaven
Nakuweka kwenye top 10
Nadata na reception
Mi nachoka hoi, pande zote huniboi

Niite baby boy to me, achana na
Toy
Dozz pipo doz mapozi
Sasa dozi na hisia za machozi

Na napenda zako nywele ndefu
Zimekwenda shule
Upande wa maumbile
Nadata toka pande pande ile

Sura yenye mvuto mashavu yenye
Dimpose
Sura yenye mvuto mashavu yenye
Dimpose

Kiitikio
Oh! oh! oh! yaani soo!
Nimepata dhahabu mtoto wa kariakoo
Mtoto anavutia kila upande ooh!

Mtoto anakomesha mpaka mabishoo
Oh! oh! oh! yaani soo!
Nimepata dhahabu mtoto wa kariakoo
Mtoto anavutia kila upandе ooh!

Mtoto anakomesha mpaka mabishoo
Verse 2 – Joslin
Mara ya kwanza nilikutana nayе kiutani
Nikampa hi! huku akinishika shavuni

Am a Josline a.k.a mpendwa na watu
Kwasababu mi naflow style zaidi ya tatu
Ye kashtuka kanifagilia
Hakuamini kama ‘Basi’ nimewaimbia

Mshkaji mmoja hivi ndo uliofuatia
Mara akatikisa kichwa kifuani akaegemia
(Ghafla akaanza kulia)
Huku akinishika kwa hisia

(Wasiwasi ukanijia)
Kumuona demu anaridhia
Anadai an#z#mika nnavyo flow
Nambusu mpaka mwisho, yaani naweka fullye

Hisia zangu kwenye muziki zinachoma
Ndo sababu kubwa iliyomfanya anipende sana
Mtoto mzuri ukimwona utampa heshima
Mi namuita dhahabu ndani ya

Kariakoo nzima
Kiitikio
Oh! oh! oh! yaani soo!
Nimepata dhahabu mtoto wa kariakoo

Mtoto anavutia kila upande ooh!
Mtoto anakomesha mpaka mabishoo
Oh! oh! oh! yaani soo!
Nimepata dhahabu mtoto wa kariakoo

Mtoto anavutia kila upande ooh!
Mtoto anakomesha mpaka mabishoo
Verse 3 – Mr Blu
U-Lonely tena bye, mi nafurahi

Niko sehemuza majani, kichwani
Niko high
Namuona manzii maskani, yuko
So fly

Mi nawahi, najigeuza Dully namfuata
Nampa hi
Nimeshaini kama Mully, kadata
Mtoto hakatai

Anangaa kama Gold
Yeah! yeah! yeah! yoah!
Anaita kama bling thing
Kama dhahabu, amefika kwa King

Queen wa kheri na ajabu
Anakila sababu, asipate tabu
Nimezimika ajabu…sana tu
Yoah! Hapendi pesa, hapendi show

Yeah anampenda Blu
Washamteta hasemi no!
Ye anawaona fool
Noma na kabaisa ajulikana mpaka kwetu

Steve unataka kumjua?
Master J twenzetu
Kiitikio
Oh! oh! oh! yaani soo!

Nimepata dhahabu mtoto wa kariakoo
Mtoto anavutia kila upande ooh!
Mtoto anakomesha mpaka mabishoo
Oh! oh! oh! yaani soo!

Nimepata dhahabu mtoto wa kariakoo
Mtoto anavutia kila upande ooh!
Mtoto anakomesha mpaka mabishoo
Bridge – Dully

Ohhhh! Unasifiwa style
Una bonge la smile
Nila ‘am telling’, napenda yako smile
Popote najinadi (2x)

Hakuna wa zaidi, hata awe P.Diddy
Oh my girl sema chochote nikugee
Mtoto unakata, hapo mi ndo nadata
Kiuno nakamata, oh! raha n#z#pata

Raha n#z#pata
Go! go shorty
Washa mi nidate,no story
Unaponipa mate, ona sasa wameshaanza hao

Nishikie, na sa walete gan tena zao
Repeat Chorus
Find more lyrics at https://dcslyrics.com

You can purchase their music thru
DCSLyrics.com Amazon Music    DCSLyrics.com Apple Music
Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases

Dhahabu Lyrics – English Translation

I love you maa!
So Come Maa!
I eat at all! You’re in madness!
GIRL JUST LISTEN, LIVING LIKE

Heaven
I put you on top 10
Nadata and reception
Mi Nachoka Hoi, round Huniboi

NIITE BABY BOY TO ME, ABOVE
Toy.
DOZ PIPO DOZ COURSE
Now doses and feelings of tears

And I wish you long hair
Have gone to school
The genetic side.
Nadata from sides

Shape with influential influences
Dimpose.
Shape with influential influences
Dimpose.

Invitation.
Oh! Oh! Oh! ie soo!
I got the golden baby of Kariakoo
The baby attracts every side ooh!

Baby stops until labels
Oh! Oh! Oh! ie soo!
I got the golden baby of Kariakoo
The baby attracts every partand ooh!

Baby stops until labels
Verse 2 – Joslin
At first I met nayе sity
I gave Hi! while holding me shavuni.

Am a josline a.k.a dear by people
Because Mi Naflow more than three
Ye Kashtuka Kanifagilia.
Didn’t believe it as ‘then’ I have told you

One accusing this followed
Once he shook the head of the bosom
(Suddenly began to cry)
While holding me with feelings

(Anxiety came to me)
Seeing the Demu is accepted
He claims he is obliged to the Flow
Nambuu until the end, ie put fullye

My feelings on music are burning
A great cause made me a lot
Good baby if you see you will give her a dignity
Mi Numita gold into the

Kariakoo whole
Invitation.
Oh! Oh! Oh! ie soo!
I got the golden baby of Kariakoo

The baby attracts every side ooh!
Baby stops until labels
Oh! Oh! Oh! ie soo!
I got the golden baby of Kariakoo

The baby attracts every side ooh!
Baby stops until labels
Verse 3 – Mr Blu
U-lonely again bye, mi happy

Am part of the leaves, the head
I am high
I see Manzi the tabernacle, he is
SO FLY

MI I have, I turn Dully I follow him
Nampa Hi.
I have been like Mully, Kadata
Baby does not deny.

Anger as Gold.
Yeah! yeah! yeah! yoah!
Calls like bling thing
As gold, he has come to King

Queen of Kheri and wonderful
He is eating a reason, not tabu
I have been quenched … very only
Yoah! Doesn’t like money, she doesn’t like the show

Yeah loves Blu.
Washamteta does not say no!
Ye sees fool.
Noma and Kabaisa known to us

Steve want to know him?
Master J Twzetu.
Invitation.
Oh! Oh! Oh! ie soo!

I got the golden baby of Kariakoo
The baby attracts every side ooh!
Baby stops until labels
Oh! Oh! Oh! ie soo!

I got the golden baby of Kariakoo
The baby attracts every side ooh!
Baby stops until labels
Bridge – Dully

Ohhhh! You are praised style.
You have a Smile Bonge
Nila ‘am telling’, i love your smile
Wherever Najinadi (2x)

No more, even p.diddy
Oh My Girl Say whatever I hit
Baby you cut, then MI Ndata
Waist I catch, Oh! comfortably nazata.

Comfortably nazata.
Go! Go Shorty.
Kindle Mi Nidate, No Story
When you give me a mate, see now they have started those

Keep me, and sa bring them back their
Repeat chorus.
Find more lyrics at https://dcslyrics.com

Dully Sykes Lyrics – Dhahabu

Please support our site by sharing it.
And please follow our site to get the latest lyrics for all your favourite songs.

Please support the artist and us by purchasing your favourite music thru our Amazon Music and Apple Music links 🙂

You can purchase their music thru
DCSLyrics.com Amazon Music    DCSLyrics.com Apple Music
Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases

From the album:
Historia Ya Kweli
Release Year: 2015