Balaa Mc – Chuki

Balaa Mc Chuki

Balaa Mc – Chuki Lyrics

Artist: Balaa Mc
Song: Chuki

Intro
We muushizoo utawauwaa
26 kipaajiii
Verse 1

Hakuna shujaa pasipo na maaduii
Minishujaa nasakwa na maaduii
Hii vita ni nugumu napigana na watu
Ambao hauwaonii wala hauwajui

Mi ni mti wenye matunda Ndio maana sichoki
Kila siku wananipiga mawe
Niko imara sianguki niko na yumba yumba tu
Matunda Yakianguka kesho yataota mengine

Kama ipo ipo kanipa Mungu uu
Kazi bure huwezi ziba riziki yangu
Eti unanichukia kisa kipaji changuu
Kazana kuniloga tu mi namuomba Mungu

We kunguru mi mwewe sa utaweza wapi
Shindana na mimi weweeee
Unakazana kutenegeza mazingira
Mi nishuke kimziki ili upande weweeee

Ohh binadamu ata ukishi nao vizuri
Watatafuta sababu tuu
Ohh binadamu ata ukiwafanyia mema
Lakini Bado utasemwa tuu

Kweli Napambana usiku na mchanaa
Silali natafuta ili nile na ndugu zanguu
Najua kama na baba mama familiaa yanguu
Inanitegemea nalijuaa jukumu languu

#chorus
Nashangaa wananichukia sijui kwanini ohh
Wananisema sijui nimefanya nini mi
Kwani kosa langu nini kwa nini mimi ohh

Mdomoni mwao kutwa jina langu mimi
Maneno ya uongo wanaongeaaa
Uhakika hawana alafu wanajiaminii
Figisu figisu wananifanyiaa

Huruma hawana nia yao kunishusha mimi
Mi najikongoja tu kidume mimii
Waache waniloge najua mungu yuko namii
#verse

Ila hakuna kama 26 kipajii
Wanasubiri wavune wakati mi ndio mlimajii
Napenda sana ushauri sijifanyi mjuajii
Leo God ka bless namiliki bajajii

Haya sasa woote tusemee suuu
Suuzikeni na roho zenu balaa sina makuu
Hata mkinuna hiyo shauri yenu tuu
Mniloge mnipige ndumba tu yoote mipango ya mungu

#chorus
Nashangaa wananichukia sijui kwanini ohh
Wananisema sijui nimefanya nini mi
Kwani kosa langu nini kwa nini mimi ohh

Mdomoni mwao kutwa jina langu mimi
Maneno ya uongo wanaongeaaa
Uhakika hawana alafu wanajiaminii
Figisu figisu wananifanyiaa

Huruma hawana nia yao kunishusha mimi
Mi najikongoja tu kidume mimii
Waache waniloge najua mungu yuko namii
Jmani mushizoo ahaa utawauwaa

Lyrics by Chamazi Music
Find more lyrics at https://dcslyrics.com

You can purchase their music thru
DCSLyrics.com Amazon Music    DCSLyrics.com Apple Music
Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases

Chuki Lyrics – English Translation

Intro
We will kill you
26 Profit
Verse 1

There is no hero without enemies
Hero Hero I Want with Enemies
This battle is a hardy I fight with people
Who do not see them or do not know them

Mi is a fruit tree that’s why I’m not tired
Every day they stone me
I am solid Says I am just and only
Fruit falls tomorrow will dream other

If it is there it gives me God uu
Free work you can’t Ziba my livelihood
I HATE YOU
Kazana just tease me mi I pray to God

We ravens mi sa where will you be able to
Compete with me youeee
You struggle to ease the environment
Mi nourish the music to the side youeeee

Ohh human will live with them well
They will look for reasons
Ohh human will do you good
But you will still be said only

Really I struggle at night and day
I am sought to look for nile and my brothers
I know as with my father my family
It depends on me I knew the role of the ones

#Chorus
I’m surprised they hate me I don’t know why ohh
They say me I don’t know what I’ve done mi
For my fault why is I ohh

In their mouth the name of my name I
False words they talk
Sure they don’t have to trust themselves
Figisu Figisu are treating me

Compassion does not have their intention to bring down me
Mi i just hang out in myself
Let them go I know God is with a community
#verse

Except no like 26
Waiting for harvesting when Mi is
I really like advice I don’t make myself aware
Today God Ka Bless I Owns Bajajii

Now let’s all say suuu
I do not kill your spirits and I have no big
Even if you are just your counsel
Just hit me with any of God’s plans

#Chorus
I’m surprised they hate me I don’t know why ohh
They say me I don’t know what I’ve done mi
For my fault why is I ohh

In their mouth the name of my name I
False words they talk
Sure they don’t have to trust themselves
Figisu Figisu are treating me

Compassion does not have their intention to bring down me
Mi i just hang out in myself
Let them go I know God is with a community
Jmani Mushizoo ahaa will kill you

Lyrics by Chamazi Music
Find more lyrics at https://dcslyrics.com

Balaa Mc Lyrics – Chuki

Please support our site by sharing it.
And please follow our site to get the latest lyrics for all your favourite songs.

Please support the artist and us by purchasing your favourite music thru our Amazon Music and Apple Music links 🙂

You can purchase their music thru
DCSLyrics.com Amazon Music    DCSLyrics.com Apple Music
Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases

Release Year: 2022