
BAHATI – FIKRA ZA BAHATI Lyrics
Artist: BAHATI
Song: FIKRA ZA BAHATI
Mamako akinipenda niite baba wa kambo
Wasani kwa uwanja na deal nao kirambo
Uliza sauti sol wao ndio kufungua lebo
Wakati wanasign mi nishadismiss kitambo
Mziki sio kiki makali kama panga
Mwisho wa maneno Rington nakuvisha kanga
Pole Octopizzo walikusukumanga
Mzungu ulipata ukashindwa kujipanga
Sina urafiki wa mtoto peremende
Leo mtajua siri ya kifo cha mende
Mr. Omollo kwa gym ni matembe
Daddy Owen ulitu
Kwenye Beat umeokoka unahubiri
Na ulifanya mimba iwe siri
Mbona yangu ilikuwa hivyo nikaitoa kafiri
Na bado mnauliza na mbona siko kwa injili
Siongopi mkisema nishasikia tayari
Maneno hainiwezi yananifanya ngangari
Natema wala kwa kila hari nashwari
Bunda uko salama ndio wa hatari
Mi ni stima naogopwa kama kifo
Mi navibe mi ndio Bob Marley
Mbao ya Ronaldo wakojoe walale
Mi ndio bump mtaslow down
Mi sio wa kukam mi ni born town
Find more lyrics at https://dcslyrics.com


Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases
Tamuzki – Iberibe
Xen0christ – 366
FIKRA ZA BAHATI Lyrics – English Translation
If he loves me to call stepfather
DIANI to the field and Deal and the rural
Ask SOL SOLS they are to open a label
When Sergeant MI Nishadismiss
Music is not an edge as a sword
At the end of the words rington I hate the Kanga
Pole Octopizzo they broke you
The white one had failed to organize
I don’t have baby friendships
Today you will know the secret of the bugs death
Mr. Omollo for gym is a steam
Daddy Owen Utitu.
At the Beat Saved You Preach
And you made pregnancy be a secret
Why was mine so I gave an infidel
And you still ask and why I’m not for the gospel
I do not say I hear already
Words cannot make me a ngangari
Natema or for every Hari Nashwari
Bunda you’re safe is the risky
Mi is a stima nigeriall as death
Mi Navibe Mi Yes Bob Marley
Ronaldo’s wood woors
MI Yes Bump Mtaslow Down
MI is not the mie mi is Born Town
Find more lyrics at https://dcslyrics.com
BAHATI Lyrics – FIKRA ZA BAHATI
Please support our site by sharing it.
And please follow our site to get the latest lyrics for all your favourite songs.
Please support the artist and us by purchasing your favourite music thru our Amazon Music and Apple Music links 🙂


Disclosure: As an Amazon Associate and an Apple Partner, we earn from qualifying purchases
From the album:
Love Like This
Release Year: 2021